Skip to main content
x
VACANCY ANNOUNCEMENT
The Institute is currently working on several programmes and projects across the country. To enable the smooth operationalization and coordination of these programmes HAKIARDHI seeks to recruit staff who will work with others to achieve the Institute’s objectives.
Madai ya wanavijiji wilaya ya kilosa kuhusu ugawaji wa mashamba

1. Utangulizi

Wilaya ya Kilosa iliyopo mkoani Morogoro ni moja ya wilaya zenye mashamba makubwa yanayofaa kwa kilimo na ufugaji. Kwa miaka mingi idadi kubwa ya mashamba haya yamekuwa yakimilikiwa na wawekezaji pamoja na watu wengine ambao si wanavijiji. Hali hii imepelekea migogoro ya ardhi ya mara kwa mara miongoni mwa watumiaji wa ardhi kutokana na kupambania ardhi kwa matumizi ya kilimo na ufugaji.

Buriani Mzee Emilian Jaka

Taasisi ya HAKIARDHI inasikitika kutangaza kifo cha mwanachama wake Ndugu Emilian Jaka kilichotokea tarehe 4-10-2022 mjini Morogoro. Taasisi inatoapole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki. Marehemu Mzee Jaka atakumbukwa kwa utetezi wa haki za ardhi kwa wazalishaji wadogo.

Apumzike kwa amani.