Skip to main content
x
Wewe ni mwanamke siwezi kukupa ardhi

Simulizi ya mapambano ya haki za ardhi kwa wanawake kama ilivyosimuliwa na Frola Mgendwa wa Keiji cha Lugalo Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa

Nakumbuka ilikuwa mwaka 1994 nilikwenda kwa baba kuomba shamba, baba akasema hivii, shamba hanipi kwa sababu mimi ni mwanamke nitapata baadaye.

Wanawake kilolo wathubutu

Agnesi Kiwele wa Kijiji cha Ng'ang'ange, Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa anasimulia alivyopigania mpaka wa shamba lao akisema,

Siku moja mwaka 2018 nilienda shambani kwetu, shamba alilotuachia marehemu baba yetu. Nilipofika shambani nilikuta baba mdogo ameweka mpaka tofauti na ilivyokuwa awali.

Kijarida cha kuelimisha jamii juu ya masuala muhimu ya haki za ardhi kwa wanawake nchini tanzania
Sera na Sheria mbalimbali nchini Tanzania zinatoa fursa kwa makundi yote kuwa na haki ya kupata, kutumia
Subscribe to Land Rights Updates