Skip to main content
x
Buriani Mzee Emilian Jaka

Buriani Mzee Emilian Jaka

Taasisi ya HAKIARDHI inasikitika kutangaza kifo cha mwanachama wake Ndugu Emilian Jaka kilichotokea tarehe 4-10-2022 mjini Morogoro. Taasisi inatoapole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki. Marehemu Mzee Jaka atakumbukwa kwa utetezi wa haki za ardhi kwa wazalishaji wadogo.

Apumzike kwa amani.