Mtandao wa Mashirika yanayojihusisha na Utetezi wa Rasilimali Ardhi (TALA) pamoja na wadau wengine walikutana Jijini Dar es Salaam kufanya uchambuzi wa Rasimu ya Mapitio ya Sera ya Taifa ya Ardhi 2016.
Mtandao wa Mashirika yanayojihusisha na Utetezi wa Rasilimali Ardhi (TALA) pamoja na wadau wengine walikutana Jijini Dar es Salaam kufanya uchambuzi wa Rasimu ya Mapitio ya Sera ya Taifa ya Ardhi 2016.