Skip to main content
x
Kongamano la waangalizi wahaki za ardhi vijijini

Tarehe 14 Oktoba 2023, Taasisi ya Hakiardhi ilishirikiana na waangalizi wa haki za ardhi vijijini kuadhimisha Siku ya Mwanamke wa Kijijini duniani. Maadhimisho hayo yalifanyika Kijiji cha Msowero, Kata ya Msowero wilayani Kilosa ambapo waangalizi wapatao 122 (Me - 67, Ke - 55) walishirii pamoja na wenyeji wa pale. Mkurugenzi Mtendaji, Bw. Cathbert Tomitho, alianzisha hafla hiyo kwa kutoa hotuba ya kuwakaribisha washiriki wote, na kutoa hongera za dhati kwa waangalizi waliokuja kutoka maeneo ya mbali, kwa kujitolea gharama zao wenyewe.

Kongamano la waangalizi haki za ardhi vijijini - gwata ujembe

Waangalizi wa haki za ardhi vijijini walifanya kongamano la kuadhimisha sikukuu ya wakulima nchini katika kijiji cha Gwata Ujembe wilaya ya Morogoro kusini mkoani Morogoro. Kongamano hilo lilikua na mada mbalimbali zikiwemo, migogoro ya ardhi na upatikanaji wa chakula vijijini, athari za mabadiliko ya tabianchi katika mifumo endelevu ya chakula, ulinzi wa haki za ardhi za wanawake ni msingi imara wa mifumo endelevu wa chakula, utunzaji wa mazingira kwa uzalishaji wenye tija na mikopo ya kausha damu inavyo wadidimiza wakulima wadogo vijijini.

Public notice: Project to promote women and small holders land tenure rights for sustainable livelihoods

HAKIARDHI is a Non-Governmental Organization established in 1994 under the NGO Act of 2002 with registration number 00NGO/R2/00012 of 2019.

Taarifa kwa umma: Mradi wa kukuza haki za umiliki wa ardhi kwa wanawake na wakulima wadogo kwa ajili ya maisha endelevu

Taasisi ya HAKIARDHI ni Asasi ya Kiraia iliyoanzishwa mwaka 1994 chini ya Sheria ya Mashirika yasiyo ya Kiserikali ya mwaka 2002 kwa usajili namba 00NGO/R2/00012 wa mwaka 2019.  

Project on upgrading existing digital platforms to create space for local communities in managing drivers of risk on land rights and climate change

Land Rights Research and Resources Institute (LARRRI/HAKIARDHI) is a Non-Governmental Organization established in 1994 under the NGO Act of 2002 with registration number 00NGO/R2/00012 of 2019.

Mradi wa kuimarisha mfumo wa kidigitali wa taasisi ili kutoa nafasi kwa jamii kupata taarifa za masuala ya ardhi na mabadiliko ya tabianchi

Taasisi ya HAKIARDHI ni Asasi ya Kiraia iliyoanzishwa mwaka 1994 chini ya Sheria ya Mashirika yasiyo ya Kiserikali ya mwaka 2002 kwa usajili namba 00NGO/R2/00012 wa mwaka 2019.  

VACANCY ANNOUNCEMENT
The Institute is currently working on several programmes and projects across the country. To enable the smooth operationalization and coordination of these programmes HAKIARDHI seeks to recruit staff who will work with others to achieve the Institute’s objectives.
Madai ya wanavijiji wilaya ya kilosa kuhusu ugawaji wa mashamba

1. Utangulizi

Wilaya ya Kilosa iliyopo mkoani Morogoro ni moja ya wilaya zenye mashamba makubwa yanayofaa kwa kilimo na ufugaji. Kwa miaka mingi idadi kubwa ya mashamba haya yamekuwa yakimilikiwa na wawekezaji pamoja na watu wengine ambao si wanavijiji. Hali hii imepelekea migogoro ya ardhi ya mara kwa mara miongoni mwa watumiaji wa ardhi kutokana na kupambania ardhi kwa matumizi ya kilimo na ufugaji.

Buriani Mzee Emilian Jaka

Taasisi ya HAKIARDHI inasikitika kutangaza kifo cha mwanachama wake Ndugu Emilian Jaka kilichotokea tarehe 4-10-2022 mjini Morogoro. Taasisi inatoapole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki. Marehemu Mzee Jaka atakumbukwa kwa utetezi wa haki za ardhi kwa wazalishaji wadogo.

Apumzike kwa amani.

Subscribe to Announcement